Aliyewahi kuwa Waziri wa Elimu Tanzania, Joseph Mungai amefariki dunia jioni hii, taarifa za awali kwa mujibu wa kituo cha television cha ITV  zinasema amekutwa na umauti baada ya kuanza kutapika mfululizo, familia imedia kuwa tatizo hilo limemkuta baada ya kudaiwa kula kitu kibaya.
aliyewahi kuwa Waziri wa Elimu Tanzania, Joseph Mungai amefariki dunia taarifa za, familia imedai kuwa tatizo hilo limemkuta baada ya kudaiwa kula kitu kibaya.

Taarifa za kifo zilizothibitishwa na mkuu wa kitengo cha mawasiliano ya umma Hospitali ya Muhimbili, Aminiel Bubwerwa Aligaesha amesema wamethibitisha kifo chake ila hakuwa amelazwa hospitalini ya Taifa Muhimbili, wao tumepokea mwili wake, na kwamba amefika  akiwa ameshakufa na wao wamemepokea mwili wake katika idara yao ya magonjwa dharura na madaktari  wakathibitisha kifo chake na kupeleka mwili wake kwenye chumba cha kuhifadhi maiti’

 Taarifa zaidi zinaendelea kufatilia taarifa zaidi kuhusu msiba huo. R.I.P Joseph 

JIUNGE NASI KWA KUTUFOLLOW
fb@edonetz  , twiter@edonetz  , inst@edonetz_blog  na  youtube@edone tv
 
Top