Kalibu sana msomaji wa edonetz nikujuze juu ya hili kama ulikuwa ujui jua na kama ulukuwa unajua jua zaidi jua linapokuwa la utosi na kusababisha joto kali wengi hupendelea kuvalia kandambili ili miguu ipate hewa; lakini yawezekana wewe unaevalia kandambili hizo kuna mambo kadha wa kadha ambayo huyafahamu.
Sio vibaya kuvalia kandambili lakini wataalamu wa magonjwa ya miguu wanatoa tahadhari kwamba kuvaa viatu vya kanda mbili mara kwa mara kunaweza kuiharibu miguu yako.
Kwanza, kanda mbili zilizoko kati ya vidole vyako zinasugua ngozi na misuli yako na kusababisha ugonjwa wa misuli ya miguu.
Pili, ukivaa viatu vya aina hiyo mara kwa mara, kutasababisha utembee kwa hatua mfupi zaidi kuliko kawaida na hali hiyo itaharibu viungo vyako.

Na tatu, viatu vya kanda mbili haviwezi ‘kufix’ nyayo zako vizuri na katika hali hiyo, ukitembea kwa muda mrefu, inawezekana kuharibu umbo wa miguu yako na hata viungo vyao.

JIUNGE NASI KWA KUTUFOLLOW
fb@edonetz  , twiter@edonetz  , inst@edonetz_blog  na  youtube@edone tv
 
Top