Ni wasichana wachache ambao wanathubutu kutengeneza ngoma kama hii istoshe katika staili hii ni vipaji ambavyo vinaitaji sapport yetu kwa pamoja ili tuweze kusikiliza vitu vizuri na vya tofauti katika bongo music anaitwa JAY LYIMO amemshirikisha  PISON ngoma inaenda kwa jina la KILL THEM Icheq  hapo chini kamanda wangu...


 JIUNGE NASI KWA KUTUFOLLOW
fb@edonetz  , twiter@edonetz  , inst@edonetz_blog na  youtube@edone tv

 
Top