Related image
Leo tuangalie faida zitokanazo na kucheka uenda mara nyingi tunachekla ila hatujui faida za kucheka katika mwili wa binadamu, kiakili  na maisha yetu kiujumla.
 Related image
Huchochea mwili kuongeza kinga dhidi ya magonjwa, unapocheka kuna antibody cells mwilini zinazalishwa hivyo mwili wako unakuwa na kinga zaidi ya kupambana na kuzuia magonjwa.

Husaidia kushusha high blood pressure.
Image result for laugh famil 
Huondoa msongo wa mawazo, wasiwasi, hasira kwani unapocheka misuli ya mwili ina relaxe na kukufanya ubaki ukiwa na furaha.
Hutuliza  maumivu katika mwili, maana hormones za endorphins mwilini huzalishwa pale unapocheka pia zinasaidia kutuliza maumivu  yaliyopo katika mwili wako.
Kucheka mara kwa mara hukupa nafasi kubwa ya kukumbuka na kujifunza mambo mengi kiurahisi hii ni kutokana na utafiti uliofanywa na Chuo kikuu cha Johns Hopkins University Medical School.
Related image
Pia kucheka ufanya misuli ya uson ku- relaxe  hivyo kufanya sura yako ibaki kuwa nzuri na kuondoa mikunjo ya usoni

Kucheka au kutabasamu kila wakati unakuwa na nafasi ya kupata marafiki Na kupendwa Na watu tofauti Na mtu anaye penda kununa.

JIUNGE NASI KWA KUTUFOLLOW
fb@edonetz ,twiter@edonetz ,inst@edonetz_blog na youtube@edone tv
 
Top