kuna maono tofauti tofauti juu ya hili ila leo tumalize ubishi juu ya hili hapa
Siku zote
tunafundishwa kuwa mwanamke apractise kumpa mume raha, kumfurhisha, but mi
naona sex kama sex mwanmke ndo anabembelezwa sana na mwanaume, ndo
anatikwatikwa, na kwa lugha nyepesi yeye ndo anaenjoy zaidi sex!
Siyo rahisi kusema ni nani anayestarehe zaidi ya
mwenziwe, kwa sababu starehe inayotokana na mwanamke na mwanaume kufanya
mapenzi inategemea na watu wote wawili wanaoshiriki katika tendo hili.
La msingi katika kujamii ana ni kwa mwanaume kumstarehesha mwanamke kadiri ya uwezo wake na kwa mwanamke kumstarehesha mwanaume kadiri inavyowezekana. Kama wote wawili wanajitahidi kuburudishana, wote wawili watapata raha sana.
La msingi katika kujamii ana ni kwa mwanaume kumstarehesha mwanamke kadiri ya uwezo wake na kwa mwanamke kumstarehesha mwanaume kadiri inavyowezekana. Kama wote wawili wanajitahidi kuburudishana, wote wawili watapata raha sana.
Zamani, wanaume wengi walifikiri kwamba mwanamke ndiyo pekee mwenye wajibu wa kumstarehesha mwanaume, na kilichotokea mara nyingi ni kwamba mwanamke hakupata starehe wakati wa kujamii ana. Mawazo kama haya ni potofu na yamepitwa na wakati kwa sababu wanaume wameanza kuona kwamba kujamii ana kuna starehesha zaidi kwa wote wawili kama wote wawili wanajitahidi kuburudishana.
Mimi kwa mtazamo wangu naona wote ni sawa endapo kila
mmoja atajitaidi kadri ya uwezo wake ili kumburudisha mwenziwe itakuwa burudani
tosha ila mmoja akitegea basi raha itaamia kwa mchakalikaji haswa.
Hii inaitaji maoni yako hapo chini sehemu ya coment
nambie wewe hili kwako likoje karibu sana…
ungana nasi
fb@edonetz, twiter@edonetz,inst@edonetz_blog na youtube@edone tv