katika pitapita zangu nimeona nikuletee na hii uione mtu mkubwa  karibu sana...


Hii ni May 16 2015 ambapo kwa mujibu wa Wajenzi wa barabara, mmiliki wa nyumba hii anaendelea kuishi hapa japokuwa barabara imeshakamilika.
huo ndio uanaume heshima na maamuzi ya mtu yachukue mkondo wake
Kwenye hizi picha za leo ni kutoka China ambako wamiliki wake wamekataa pesa zilizotolewa na idara ya ujenzi wa barabara kama fidia,
 
Picha ya April 2010 huko Guangxi Province
 
Hii nyumba wamiliki wake ni wazee Luo (67) na mke wake mwenye miaka 65 ambao waliingia kwenye mvutano na serikali kwa miaka minne kuhusu malipo yao na kuhama hapa.
 
Hata hivyo Luo alikubaliana na serikali na akalipwa zaidi ya MILIONI 80 za Kitanzania ndio akakubali kuhama na nyumba ikabomolewa December 2012.
Hata hivyo wakazi wengine waliogomea nyumba zao zibomolewe baadae baadhi yao waliripotiwa kulipwa kiasi kikubwa cha pesa na kukubali kuondoka kupisha ujenzi.picha zao hizo hapo
sasa hivi tayari napatikana kote jiunge na mimi kwenye Twitter, Facebookna instagram @edionetz 

 
Top