Ni wazi kwamba wanaume wengi hawapendi kutumia kondomu wanapofanya mapenzi.na wengi huwa na sababu tofauti tofauti na leo nimekuandalia hizi hapa.
Hizi hapa sababu wanazotoa mara nyingi;
Mwili wangu huathiriwa na ulimbo unaotengeneza kondomu (latex)
Ni sababu ya kuzingatiwa lakini kwanini anataka kushiriki ngono na mtu asiyejua hali yake pasipo kondomu?
Mimi ni msafi, sijaathirika
Kuvaa condom haimaanishi wewe ni mchafu bali ni kujikinga na magonjwa ya kuambukizwa ukisema wewe msafi je? Thibitisho liko wapi? Anajuaje wewe ni msafi?
Kwani huniamini?
Kutumia condom kuna maana nyingi na faida nyingi akisema kwani huniamini wewe Mkumbushe kwamba ndiyo ngoma yenu ya kwanza hivyo suala la kuaminiana halipo.
Haileti raha
Naam, walio wengi upenda kuongelea hili la kwamba haileti raha hila  hana shughuli na wewe iwapo hataki kutumiza sharti hilo.
Desturi
Walio wengi wanatumia sababu hii lakini Hii ndiyo sababu ya kipuuzi kabisa, eti desturi na imani yake haimruhusu kutumia kondomu.
Haraka upesi dada, ondoka.
JIUNGE NASI KWA KUTUFOLLOW

fb@edonetz  , twiter@edonetz  , inst@edonetz_blog  na  youtube@edone tv
 
Top