Uvaaji wa cheni au shanga kiononi kwa wanawake ni aina ya utamaduni ambao umekuwa ukipendwa sana na wanawake hasa wa pwani tangu miongo mingi iliyopita na kutokana na mabadiliko ya ya kiutamaduni na kuenea kwa utandawazi wanawake wengi wamekuwa wakivaa shanga au cheni kiunoni kama fasheni tu au urembo pasipo kujua matumizi,
Vile vile kwa upande wa wanaume nao wamekuwa sio wataalamu katika kuzitumia shanga/cheni hizi ziwapo kiunoni mwa wapenzi wao na hivyo kupunguza ari ya wao kufaidi tendo lenye raha kuliko matendo yote,namaanisha kutiana.



Na hizi ni baadhi tu ya namna ambavyo shanga au cheni za kiunoni huweza kuleta kizaa zaa kwa mwanaume na hata mwanamke mwenyewe na kumfanya asisimke kimahaba jambo linalotia ashki sana pale mnapojiandaa kula lile tunda taam ambalo hata chokleti haifikii.

…Kitendo cha mkaka kuona cheni/shanga kadhaa zimetokeza tu kiunoni mwa mdada mrembo ambaye anavutia na kujitunza basi ni mistake tosha mkaka huyo amefanya kwa kuchungulia chungulia kwenye viuno vya watu wenye taaluma zao.

Cheni/shanga hizi huleta muonekano mzuri sana pale zinapokuwa zimefanya mizunguko kadhaa kiunoni mwa mdada ambaye anajithamini na kujijali hivyo mwanamume aliyetimia lazima asisimke na kujawa na hisia za matamanio ya hali ya juu kwa kuona shanga/cheni hizo na kama kwa bahati nzuri mdada ukamfuma mkaka huyo akiangalia kiunoni hapo utamuana jinsi alivyozuzuka na macho ya uchu yamemtoka kwa kuona vifaa nyeti vya kumkolezea mwanaume chumbani.

…Cheni/shanga hizi hutumika kuchezewa kwa ustadi na wanaume waliobobea katika haya majamboz hasa pale wanapotumia ndimi zao kuzungusha kiunoni mwa wapenzi wao huku shanga/cheni hiyo ikiwa mdomoni na ulimi ukitumika ipasavyo katika kugusa na kutekenya ngozi ya mpenzwake na mazingira yote ya jirani ilipopita shanga hizo kama vile kwenye kinena,na hata kumani. Mtekenyo huu ukifanywa kwa ustadi hakika mwanamke hujihisi burudani sana kifaa chake hicho cha kiunoni kilivyopata mtumiaji.

…Shanga/cheni hutumika katika kuamsha uume pale unapoonekana kuanza kulala. Kwa kutumia cheni wanawake wataalam huchukua uume wa mpenz wake na kuupenyeza au kuuviringisha juu ya shanga/cheni hiyo mithili ya mtu anayesukuma chapatti hivyo hufanya uume wa mtu wake kupata nguvu na amsha amsha ndani ya muda mfupi na hivyo iwapo tayari imesimama huingizwa taratibu kumani tayari kufanya shughuli yake ya kukuna sehemu husika mpaka pale mwanamke anapokiri kweli hakuna raha kama kutiwa pale unapompata mtiaji


Kazi ya shanga

Huongeza hisia ukiwa faragha; ukiwa na mwenza wako wakati mnanjunjana,utamu unaongezeka pale mwanamke unapokuwa umevaa shanga kiuononi kwani shanga husaidia kwenye ukataji wa kiuono na pia huongeza mvuto kwa mwanaume wako pale anapoangalia kiuno chako wewe chenye urembo mzuri wa shanga kinavyokata mauno.

kutoa Ishara kwa mpenzi; malkia wa nguvu inabidi ujue ishara hasa pale unapokuwa faragha, unatakiwa kufahamu  maana ya rangi za shanga, Shanga nyeusi’ mwenza yupo tayari lakini uwanja wake haujakatwaa majani kwahiyo kama dume la shoka inabidi umsaidie kwanza kumsafisha mwenza wako au ukimaliza game ndio umsaidie, shanga nyekundu’ huashiria’ yupo kwenye hedhi na rangi ya nyeupe’ hapo ndo ujue mwanamke yupo msafi na yupo na hisia kali.

Urembo

Mwanamke anapokuwa umevaa shanga kiunoni ni urembo tosha hasa pale unapokuwa faragha na mumeo au mpenzi wako,tunakuwa na kauli hii kuwa urembo wa mwanamke utimie inabidi uwe umevaa shanga na kupunguza uzungu kwani hapo ndio wanawake wengi tunapopigwa bao na watoto wa kitanga.

Maana ya rangi za shanga

Nyekundu:

ukimkuta mwanamke amevaa shanga ya rangi hii unatakiwa kuelewa kwamba mwanamke huyu yupo kwenye hedhi, kwahiyo wewe fanya mengine lakini sio kutumbukia unless yeye mwenyewe amekuruhusu na wewe uwe na uwezo wa kutumbukia hata akiwa kwenye hedhi (kitu ambacho kiafya hakishauriwi).

Nyeupe:

Shanga yenye rangi nyeupe kwenye kiuno cha mwanamke inamaanisha hana tatizo lolote litakalomfanya asikupe raha ya sita kwa sita, kwahiyo ukitaka tu muda wowote unapata.

Nyeusi: 

ukimkuta Hapa ni tofauti  na shanga zenye rangi nyekundu na nyeupe kwani hapa mwanamke anakuwa yupo tayari kukupa raha lakini utakapo muona mwenza wako au mkeo amevaa shanga nyeusi ujue uwanja wake wa game una majani mengi hiyo ni ishara ya kukueleza kuwa anaomba msaada wa kumsafisha ndo akupe mechi au ukimaliza umsafishe au umfanye ausafishe mwenyewe.

JIUNGE NASI KWA KUTUFOLLOW

fb@edonetz  , twiter@edonetz  , inst@edonetz_blog  na  youtube@edone tv

 
Top