Mapenzi ni utundu ambao kila mmoja akiamua kujifunza toka kwa mwenzie ataweza kukata kiu ya mwandani wake. Tangu kuumbwa kwa dunia haijapata kusikika eti mtu kafundishwa namna ya kukata kiu ya mkewe kitandani bali wengi hufundishwa namna ya kuishi ili muweze kwenda sawa.
Kuna baadhi ya vitu ambavyo hutakiwi kumwambia muwapo faraghan

Natamani ungekuwa na kitu fulani, 
hakuna kitu kinachomkosesha amani mwanamke pale anapoambiwa kitu kinachokosekana kwenye mwili wake, mathalani aambiwe mbona una makalio madogo, kwanini miguu yako myembamba, mbona mwili wako una makovu sana. Yote haya yanamfanya ajisikie aibu na ikitokea akashindwa kujizuia anaweza kukutolea maneno machafu na hata akaamua kuachana na wewe.
Sio hivyo, 
kwa kawaida wanawake ni viumbe wenye hasira za karibu na mara nyingi maneno madogo madogo yanaweza kuwaondoa ama kuziondoa kabisa hisia muwapo kitandani. Kwa mfano unamwelekeza akaeje ama alale vipi ili muweze kufaidi utamu wa tendo ikatokea ukamwambia sio hivyo, unafanya nini? maneno haya yanaweza kumvunja nguvu na kuondoa munkari wa mapenzi hivyo kuwa makini usijekosa kuupata utamu. Mwelekeze kwa lugha laini za kimahaba mtaweza kuogelea kwa pamoja kwenye bahari ya ‘malovedove’.
Nilizoea kufanya hivi, 
kitendo cha kumwambia ama kumwonesha mpenzi wako wa sasa kwamba mpenzi wako wa zamani alikuwa na kawaida ya kukufanyia hili na lile litamfanya akose amani na pengine kushindwa kabisa kutoa ushirikiano wa kutosha wakati wa kungonoka. Kama mwanaume rijali hupaswi kueleza mambo ya kusisimua uliyokuwa ukifanyiwa na mpenzi wako wa zamani mlipokuwa mkidooo endapo utaamua kusema itamfanya akose amani na kuwa mwenye wivu wa kupindukia wakati wote.
Sina muda wa kutosha leo
jambo la msingi ambalo wanaume wanapaswa kufahamu ni wanawake wanapenda kuoneshwa mahaba tena kwa kutengewa muda ambao ataridhika na roho yake kuwa kwatuu sasa ikatokea wewe unaonesha kuwa ‘busy’ na mara nyingi umekuwa mtu wa kuwa na ‘excuse’ itamfanya kutokukutilia maanani kiasi cha kumfanya awaze kuchepuka.
Hujafika kileleni? 
Anaudhika na kukereka sana pale mwanamke anapoulizwa kama amekwishafika kileleni kwani swali hilo linaonesha kama linamdhalilisha na kumlazimisha kusema hata kama hajafika. Kwa mfano ukamuuliza hujafika tu kileleni? Anaweza kukujibu kwa ghadhabu ilimradi tu mmalize muondoke sababu ukweli ni kwamba sio jambo jepesi kukata haraka kiu ya mapenzi kwa mwanamke ndio maana mwanaume anapaswa kuwa makini na kutambua sehemu ambazo mwanamke akishikwa atanyegeka ili afike kileleni.
JIUNGE NASI KWA KUTUFOLLOW
fb@edonetz  , twiter@edonetz  , inst@edonetz_blog  na  youtube@edone tv
 
Top