Daktari Zaki Almallah , mtaalam wa vibofu vya mikojo anasema tabia ya watu wazima kuwa vikojozi inarithishwa, kama baba au babu alikuwa kikojozi basi kuna uwezekano wa asilimia 40 kwa mtoto au mjukuu kuwa kikojozi ukubwani.

Wataalam katika Hospitali ya Birmingham nchini Uingereza wanasema sababu nyengine ni kutokomaa kwa tezi ya pituitary gland inayopatikana ndani ya ubongo chini ya sikio.

tezi hii hutoa homoni yake na chembechembe zake wakati wa usiku hivyo kuzuia utengenezaji wa mikojo. hivyo tezi hiyo ya pituitary gland ikiwa dhaifu au haikukomaa basi chembechembe hizo zitatuma ujumbe kuwa mikojo zaidi itengenezwe, hivyo basi mtu kuwa na balaa ya kujikojolea akiwa amelala maana ni lazima zitoke.
Mtu kuwa na stress,au msongo kuna weza kumsababishia mtu huyo matatizo ya ukojozi.

ILI KUJITIBU TATIZO HILI
Zipatikane kwato za mbuzi na mgonjwa aziunguze moto na azisage vizuri apate unga, baada ya hapo changanya unga huo na asali safi ya nyuki kwa uwiano ulio sawa na asubuhi kabla hajala chochote ale kijiko1cha chakula,mchana na jioni pia akienda kulala.
afanye hivi kwa siku 11 atapona na kama ni mtoto basi atumie kijiko cha chai. 
Mafuta ya mzaituni
Kama mwanao ana tatizo hilo, chukua mafuta haya yapashe kidogo kisha mlaze mwanao, umpake yakiwa na vuguvugu chini ya kitovu kisha umfanyie masaji.
Mdalasini
Hakikisha mwanao anatafuna mdalasini kwa siku hata mara moja, kama hawezi kuutafuna chukua unga wake, changanya na sukari kisha weka kwenye mkate wenye mafuta mpe mwanao.
Matunda damu

Mpe mwanao glasi ya juisi ya matunda damu saa moja kabla ya kulala, tumia tiba hii kila siku angalau kwa wiki kadhaa. Kama ataendelea, mpe nusu kikombe kwa siku mara tatu, iwe kama dozi ya vidonge. 
JIUNGE NASI KWA KUTUFOLLOW
fb@edonetz  , twiter@edonetz  , inst@edonetz_blog  na  youtube@edone tv
 
Top