katika kuzidi kukusogezea mada za aina mbali mbali edonetz na leo nimeona nikusogezee hili.
tumezoea kuona na kujua kwa walio wengi madhala ya kula vyenye mafuta mojawapo ikiwa ni kusababisha unene,presha nk. hila kuanzia sasa unatakiwa kujua kawa si madhala hayo tu. kiafya ni vizuri usitumie mafuta ya kupita kiasi ni maanisha mafuta mengi mwilini machache yameshagundulika mengine bado ila kwa jua na hili likusaidie kiafya.. 
Kwa mujibu wa utafiti ulioendeshwa na wataalamu wa lishe nchini Marekani, umebainisha kuwa sio kusababisha maradhi ya unene uliokithiri bali mafuta pia huathiri ubora wa usingizi.
Wataalamu hao katika chuo kikuu cha lishe bora Colombia mjini New York alibainsha kuwa vyakula vya mafuta mengi na sukari huathiri kwa kiasi ubora wa usingizi katika matabaka yake ambapo mwanadamu hupumzikisha mwili na ubongo.

Utafiti huo uliendeshwa kwa kutumia watu kadhaa waliojitolea ambao umri wao ulikuwa ni miaka 35 ambapo walitumia muda wa siku 5 katika maabara ya chuo kikuu hicho. 
JIUNGE NASI KWA KUTUFOLLOW
fb@edonetz  , twiter@edonetz  , inst@edonetz_blog  na  youtube@edone tv
 
Top