Kuvunjika kwa mahusiano yoyote ni Maumivu, iwe ni mume, mpenzi au mke, na hii Inategemea Umri, na Mazingira, Kabla ya kuamua kuachana kwa sababu yoyote ile inabidi muwashirikishe wakubwa.
Na je  Ulishawahi kujiuliza ni madhara yapi hutokea  pindi wapenzi wanapoachana ghafla?
HASIRA, Huwezi kutoa maamuzi ya kuachana na mke/mume au mpenzi hupelekea hasira Kukataa Ukweli, iwe mke au mume, pale mnapofikia kwenye hatua ya kuachana au kutengana mmoja kati yenu inamuia vigumu kupokea Ukweli kabisa.
KUPIMA MIZANIA, yaani mtu anakuwa kama anakubali kupokea kibuti,mara anakuwa mgumu kupokea ukweli kuhusu kuvunjika kwa mahusiano yako, Msongo wa Mawazo, hapa mtu anaweza kukosa usingizi, kukosa hamu ya kula na inaweza ikamsababisha mke/mume au mpenzi kufanya vitendo vibaya hadi wengine wamekuwa wanakatisha mahusiano.
KUKUBALI, akili na moyo hupokea polepole jinsi ya kupokea taarifa ya kuachana na mwenza wake,lakini hapa kutokana na hasira kukata ukweli, kupima mizani na kukubali matokeo ,kwahiyo kumshtukiza itamuathri kisaikologia na kupelekea kwenye UADUI.

Usilazimishe mahusiano kama mwenza wako ameamua kukuachana na wewe kwani  kabla ya kuanzisha mahusiano mapya inabidi ukae na ujue nini chanzo cha kuachwa,ili ujue ni jinsi gani ya kujirekebisha ili usipate changamoto ileile kwenye mahusiano mapya. 
JIUNGE NASI KWA KUTUFOLLOW
fb@edonetz  , twiter@edonetz  , inst@edonetz_blog  na  youtube@edone tv
 
Top