Tambua kuwa wakati wewe  una sherehekea sikukuu za mwaka mpya kwa namna yake laikini kwa wenzetu utakuwa umekosea na huruhusiwi huko korea kaskazini.
Rais wa nchi hiyo Kim Jong Un amepiga marufuku sherehe za mwaka mpya amejaribu kufuta kuanzia siku ya Krismas ili kumuenzi Bibi aliyekuwa mwanaharakati wa nchi hiyo kipindi cha nyuma katika uongozi wa kikomonisti.
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-Un amepiga marufuku sherehe za Krismasi na mwaka mpya kusherekewa nchini humo kwa mujibu wa habari ya India Times ni kuwa badala ya kusherekea kuzaliwa kwa Yesu kulingana na imani ya wakristo, raia nchini humo watatenga siku hiyo kumuenzi bibi ya Kim .

Kim ambaye pia ni mwanaharakati wa kikomunisti amefahamisha kuwa bibi yake atatambulika kuwa ‘Mama mtakatifu wa mabadiliko. 
JIUNGE NASI KWA KUTUFOLLOW
fb@edonetz  , twiter@edonetz  , inst@edonetz_blog  na  youtube@edone tv
 
Top