Wanasayansi maarufu hapa duniani wamegundua kuwa watu wanene wanapata raha zaidi katika tendo la ndoa ukilinganisha na watu wembamba. Mwanasayansi huyo aitwaye Dk. James Watson ambaye amekwishawahi kushinda tuzo za NOBEL kwa ubingwa wake ulipelekea ugunduzi wa muundo wa DNA, anaamini kabisa kuwa watu wanene wana uwezo
mkubwa wa kufurahia tendo la ndoa kuliko wembemba.

Watu wanene wanazo sababu za kibaolojia zinazowafanya waweze kupata raha zaidi wafanyapo tendo la ndoa,  katika  uchunguzi wake wa kemikali mbalimbali zilizomo kwenye  mwili wa mwanadamu Dk. Watson ameona kuwa mafuta ya mwili yanaongeza kemikali iitwayo ENDORPHIN inayosababisha mtu ajisike raha.

Kwa watu wembamba aligundua kuwa upungufu wa mafuta mwilini ulisababisha ubongo usipate ENDORPHINS za kutosha hivyo kupelekea kuwepo na upungufu wa raha katika tendo la ndoa. Watu wanaosema kuwa kufanya tendo la ndoa na watu wanene hakuna raha na ni kazi ngumu ni waongo kabisa.

Ukweli ni kwamba raha ya tendo la ndoa haipungui utamu wake kutokana na unene wa mtu, bali hupungua kutokana na ukosefu wa ufundi na hofu zisizo na msingi wowote. Hofu ya kushindwa kumridhisha mwenzio siku zote lazima itakuzuia usipate raha kamili katika jambo lolote lile.

Ukosefu wa ufundi wa kufanya tendo la ndoa huleta hofu na hata kiasi kidogo tu cha hofu huweza kusababisha mtu kushindwa kufanya tendo la ndoa kwa ufanisi na hivyo kushindwa kupata raha kamili.

Dk. Helen Singer ambaye ni mwanasaikolojia anasema kama mwanamume huyu atakuwa hajui umuhimu wa kinembe kilicho sehemu ya juu ya uke akafanya tendo la ndoa na mwanamke mnene atashindwa kabisa kumridhisha mwanamke huyo, mwanaume wa aina hiyo akishasimamisha uume wake atauingiza kwa mwanamke na harahara atapizz (kumwanga shahawa) bila kufikiria kuwa mwanamke huyo atakuwa bado hajafika kileleni.

Wanawake wengi wanene wameogopa kuanzisha mahusiano na wanaume kwa hofu ya kudharauliwa na hata wakifanikiwa kuanzisha uhusiano wanakuwa na wasiwasi kuwa uhenda wataachwa kwa sababu ya maumbile yao makubwa.

Utawaona wanawake wanene wakivaa mavazi yasiyoleta  mvuto kwa wanaume kwa sababu imani kuwa kwa sababu ya unene wao hawapendeki. Wanawake wengine wapatapo wapenzi wakati wa kufanya mapenzi hupendelea kufanya mapenzi baada ya taa kuzimwa, wanaona giza litaficha ubaya wa unene wao, jambo ambalo huondoa kujiamini na kupunguza mvuto kwa mwanaume yeyote.

Wanawake wengi wanene wanajiona kuwa hawathaminiki kwa wanaume kutokana na unene wao, hali hiyo husababisha kuharibu mvuto wao na wengi huachwa sio kwa sababu ya unene wao, bali kwa sababu ya kukosa uchangamfu utokanao na hali ya kujiamni. Mtu akiwa na historia ya kuachika anajenga hofu ya kuchika katika uhusiano wowote ule na hofu humfanya apoteze matumaini.


Hali ya kutokuwa na matumaini humpunguzia nguvu ya kujiboresha yeye mwenyewe na kuboresha uhusiano anaoanzisha. Iwapo wanawake wanene hawaamini kuwa wao pia wanastahili mambo mazuri zaidi, basi watabaki katika tundu lenye huzuni na msikitiko tele alimalizia Dk. Hellen. 

JIUNGE NASI KWA KUTUFOLLOW
fb@edonetz  , twiter@edonetz  , inst@edonetz_blog  na  youtube@edone tv
 
Top