Taifa  la Marekani ndiyo taifa kubwa lenye vitu vingi karibia kila kitu duniani,huku pia wananchi wake kwa asilimia kubwa wakiwa na uhakika wa maisha yao kutokana na utajiri wa nchi hiyo.
Asilimia kubwa ya wamarekani huishi bila wasaiwasi wa kukabiliwa na baa la njaa,vita au matatizon mengine ambayo huyakumba bara la Afrika na Asia. Ulinzi madhubuti uliowekwa ndani na nnje ya nchi hiyo uwawafanya wamarekani kujihisi wako salama katika dunia hii kuliko binadamu yeyote yule.
Hali hii imewafanya wamarekani kujivunia sana kuwa raia wa taifa hilo huku wakati mwingine wakijitia kuwaonea huruma watu ambao siyo raia wa TAIFA HILO.

RAKININJE WAJUA? pamoja na wamarekani kuwa na ulinzi huo ambao unawafanya wasiwe na hofu ya maisha yao,huuogopa nyoka kuliko kitu chochote duniani? 
Uchunguzi umebaini kuwa asilimia 51 ya wamarekani ni waoga kuliko kawaida kila wanapoomuona nyoka bila kujali amelala,amekufa au ni mzima.
 
JIUNGE NASI KWA KUTUFOLLOW
fb@edonetz  , twiter@edonetz  , inst@edonetz_blog  na  youtube@edone tv
 
Top